Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
natafuta shule ya private ya o level kwa ajili ya my niece nataka. shule ya bei rahisi as sina kipato kikubwa,iwe laki 6-8 kwa mwaka,kila shule ninayoulizia ni kuanzia milion na zaidi,shule za boarding.
Kuna shule moja ipo Iringa inaitwa St. Thomas Nyabula secondry ipo wa 9km kutoka ipogolo na inafikika kwa daladala, inamaadili ya katoliki. Wastan wa kuhama darasa ni 50% chini ya hapa anarudia au ahame shule. Ni ya boarding na ada ni laki 8.5 ndo imetoa form 4 kwa mara ya kwanza. Mitihani yote ya kimkoa ipo kwenye kumi bora. Jaribu hii mkuu, ipo nyingine inaitwa consolata secondary inasifa sawa na hii ila wastan wao ni 45% na ada laki 9.5, ipo baada ya kumaliza kona za mwangata unapoelekea Ruaha National park. Ni ya boarding