Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mkoa gani?Wapendwa Poleni Sana Na Majukumu Ya Kikazi. Mimi Ni Mjasiriamali Ambaye Nimejikita Haswa Kwenye Biashara Ya Mazao.
Kwa Sasa Natafuta Soko La Alozera, Kama Unahitaji Takuuzia Kwa Sh 5000 Bei Ya Jumla Asanteni.
Ninanayo Na mimi ukuAloevera ipi sabuni ya kuogea
Hujui hata jina la unachokiuza utapata wateja kweli?Hapana Ni Aina Ya Mazao Ya Kuongeza Damu Mwilini, Kuna Aina Ya Viazi Na Majani. Ila Mimi Ninayo Ya Majani
Mkuu hayo ya kuongeza damu yanaitwa lozera (hibiscus) sio aloveraHapana Ni Aina Ya Mazao Ya Kuongeza Damu Mwilini, Kuna Aina Ya Viazi Na Majani. Ila Mimi Ninayo Ya Majani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hujui hata jina la unachokiuza utapata wateja kweli?
Dah[emoji851][emoji851]Hujui hata jina la unachokiuza utapata wateja kweli?