Dream Touch
Member
- Mar 26, 2023
- 25
- 46
Uko mkoa gani na Bei yake huko ikojeNimewaza kuanzisha biashara ya kutoa mashudu mikoani na kuyauza Dar.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.
Kikubwa kujua masoko ya kuuzia hayo mashudu kwa dar tembelea tandale, River side, yaani maeneo yanayosaga chakula Cha mifugo ata mimi nauza vyakula vya mifugo pia ila bado biashara ni ndogoNimewaza kuanzisha biashara ya kutoa mashudu mikoani na kuyauza Dar.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.
Nimewaza kuanzisha biashara ya kutoa mashudu mikoani na kuyauza Dar.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.
Masoko yapo dsm karibuNimewaza kuanzisha biashara ya kutoa mashudu mikoani na kuyauza Dar.
Naomba kujua soko na changamoto ya biashara hii.