Habari wakuu.
Mimi ni mtu ninayevutiwa na ujasiriamali, sasa niliwahi kusikia kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai. Nilianza kwa majaribio kuku 300 tokea April mwaka huu, hivi sasa wameanza kutaga kidogo kidogo.
Hadi ninapoandika uzi huu, ninaokota trey 3 kwa siku lakini wana dalili za kuongeza kiwango. Sasa naombeni mnisaidie jinsi ya kupata soko. Mimi ninaishi Madale na kituo changu cha kupandia gari ni Tegeta Nyuki.
Ninauza trey kwa 6500, kama kuna mwenye chochote cha kunisaidia naombeni.
Nawakilisha
Mimi ni mtu ninayevutiwa na ujasiriamali, sasa niliwahi kusikia kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai. Nilianza kwa majaribio kuku 300 tokea April mwaka huu, hivi sasa wameanza kutaga kidogo kidogo.
Hadi ninapoandika uzi huu, ninaokota trey 3 kwa siku lakini wana dalili za kuongeza kiwango. Sasa naombeni mnisaidie jinsi ya kupata soko. Mimi ninaishi Madale na kituo changu cha kupandia gari ni Tegeta Nyuki.
Ninauza trey kwa 6500, kama kuna mwenye chochote cha kunisaidia naombeni.
Nawakilisha