NATAFUTA SOKO LA NANASI

NATAFUTA SOKO LA NANASI

Joined
Oct 16, 2015
Posts
9
Reaction score
5
Wadau, nimeanzisha shamba la nanasi heka 5, three years ago, maeneo ya Misigi( 17 Km from Chalinze). Sasa lina maximum production. Changamoto yangu ni soko. Nahitaji masoko ya Arusha, Moshi, Zanzibar na Kenya, ndio nasikia bei ni nzuri. Haya masoko ya karibu nayapata, ila bei, wananilalia sana. Yoyote anayeweza nisaidia tafadhali awasiliane nami kwa namba 0672 215778
 

Attachments

  • 20241213_140732.jpg
    20241213_140732.jpg
    632.7 KB · Views: 7
  • 20241213_140433.jpg
    20241213_140433.jpg
    673.6 KB · Views: 8
Unaanzisha biashara ambayo hujafanya market research ni changamoto.

Fanya kwanza market survey ndio uzalishe bidhaa

Sasa hivi nanasi zipo kila Kona fanya uuze haraka
 
Naona wanachofanya wauzaji wa nanasi wanaleta Arusha soko la Kilombero na wanauzia juu ya hiyo Canter bila kushusha chini unamtafuta dalali anataja bei kwa bei ya soko iliyopo utauza tu maana hapa Nanasi linatembea sana..
 
Sawa
Hongera Sana Kilimo Ni Uti Wa Mgongo
Kilimo bila viwanda vya usindikaji ni changamoto. Mdau kama huyu alitakiwa kupeleka matunda yake kiwandani na kuuza kwa tani, ila cha ajabu anatafuta masoko kwenye sehemu ambazo zina jam ya mananasi. Bongo kilimo ni adhabu.
 
Kilimo bila viwanda vya usindikaji ni changamoto. Mdau kama huyu alitakiwa kupeleka matunda yake kiwandani na kuuza kwa tani, ila cha ajabu anatafuta masoko kwenye sehemu ambazo zina jam ya mananasi. Bongo kilimo ni adhabu.
Mchawi CCM
 
Hongera ndugu, jaribu kifanya tafiti vizuri mtandaoni kupata taarifa sahihi kuhusu wateja au wanunuzi,
 
Kilimo bila viwanda vya usindikaji ni changamoto. Mdau kama huyu alitakiwa kupeleka matunda yake kiwandani na kuuza kwa tani, ila cha ajabu anatafuta masoko kwenye sehemu ambazo zina jam ya mananasi. Bongo kilimo ni adhabu.

Naona wanachofanya wauzaji wa nanasi wanaleta Arusha soko la Kilombero na wanauzia juu ya hiyo Canter bila kushusha chini unamtafuta dalali anataja bei kwa bei ya soko iliyopo utauza tu maana hapa Nanasi linatembea sana..
Hii nimeichukua
 
Back
Top Bottom