Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oil ilienda kupimwa kwenye maabara ya taifa kujua kama Ina corona ama lasexer... corona can' t survive within it..
Mbona hujaweka mawasilianoAsalaam alaykum nyote i hope mu wazima kwa ambaye afya imeyumba like me M/Mungu atuhafu amiin..
Wakuu naombeni mwenye kujua soko/viwanda/mahali wanapo nunua Oil Chafu (Crude Oil) na bei yake kwa hapa Jijini Dar.
Natumai wajuvi wapo humu.
Ahsanteni
Taja (sema) hvyo viwanda au sehemu wanaponunua/kuuza hayo mafuta machafu kw faida ya wengine.Rodrick Alexander said:Mbona hujaweka mawasiliano?
Kuna mtu aliwahi kuniulizia ila sikuwa na jibu kwa wakati huoTaja (sema) hvyo viwanda au sehemu wanaponunua/kuuza hayo mafuta machafu kw faida ya wengine.
Mkuu sidhani kama jina crude oil linaendana na unachokimaanisha. Crude oil ni mafuta ambayo hayajachakatwa,wewe unamaanisha mafuta yaliyochakatwa na yameshatumika.Asalaam alaykum nyote i hope mu wazima kwa ambaye afya imeyumba like me M/Mungu atuhafu amiin..
Wakuu naombeni mwenye kujua soko/viwanda/mahali wanapo nunua Oil Chafu (Crude Oil) na bei yake kwa hapa Jijini Dar.
Natumai wajuvi wapo humu.
Ahsanteni
Hii yenye COVID19?Asalaam alaykum nyote i hope mu wazima kwa ambaye afya imeyumba like me M/Mungu atuhafu amiin..
Wakuu naombeni mwenye kujua soko/viwanda/mahali wanapo nunua Oil Chafu (Crude Oil) na bei yake kwa hapa Jijini Dar.
Natumai wajuvi wapo humu.
Ahsanteni
Behaviourist...ndio ni oil iliyokushafanyiwa matumizi
Akikujibu nitagHivi kumbe crude oil maana yake ni oil chafu?