Natafuta soko la Oil Chafu (Crude Oil) Jijini Dar

Natafuta soko la Oil Chafu (Crude Oil) Jijini Dar

Asalaam alaykum nyote i hope mu wazima kwa ambaye afya imeyumba like me M/Mungu atuhafu amiin..

Wakuu naombeni mwenye kujua soko/viwanda/mahali wanapo nunua Oil Chafu (Crude Oil) na bei yake kwa hapa Jijini Dar.

Natumai wajuvi wapo humu.

Ahsanteni
Nanunua oil chafu
 
Back
Top Bottom