doctor of philosophy
Member
- Jul 20, 2024
- 42
- 98
wakuu baada ya watu kuwa na maswali mengi juu ya bei,basi naomba tuwekane sana,ipo hivi debe moja ni 5000,na gunia ni 35,000,but ukizingatia sehem ninayoifata kdg kuna ka umbali so gunia lita cost 38,000,.ubuyu ni ule mweupe raw material kabsa,upo wa kutosha even kwa matumiz ya kiwandani,so kama unalijua soko lilipo ama wewe mwenyew ni mfanyabiashara unatamani tushirikiane kwenye biashara hii,karibu.mawasiliono 0623116498,location ni kibaigwa,dodoma