GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
ahahahha!promo at work
Siyo ' Promo ' bali nimekutahadharisha tu mapema ili usije ukaiona inatokezea katika ' mdomo ' baada ya kupita hadi ' Kolomero ' lako na ukashangaa. Umeshawahi kukutana na ' Mikuyenge ' Dar to Kigoma Dada? Una uzoefu nayo? au mwenzangu umezoea tu kukutana na ' Mikuyenge ' Dar to Msata?
[emoji23][emoji23][emoji23]!.....Nina mpango wa kuibuka na ID nyingine mwaya!!.......ID ambayo nitatumia Avatar ambayo ni handsome haswa!
hhahah kwa maneno yako tu nadhan mie ndo ntakuwa ticha wako ! hakunaga cha dar msata walakigoma !ishu ni techniques tu mdogo wangu
Hivi una mume?[emoji87] [emoji87] [emoji87]haya kila laheri au nmikupe ya mume wangu uuze sura?
[emoji23][emoji23] mnafanana sura labda...achana naye huyo sometime anajitoa ufahamu !namheshim na sitamjibu vby !usijal kaka we endelea na yako mie mwanamke halisia !sijui kipi kimemfanya ahisi mie ni wewe !mxiew
[emoji23][emoji23] mnafanana sura labda...
Huishi vituko shoga ndo maana nakupenda. Miss u zaidi, nimekuwa busy naingia jf kwa kudonoadonoa!hahaha mie sijawah piga picha shamba km vile yeye alivyopiga !teh teh ! yaan nakereka sana mtu anisukumizie jinsia mpya kwangu na ninavyoipenda jinsia yangu nahisigi km NUX NA MIKOSI TUPU !
bdw nakumiss demi !
Huishi vituko shoga ndo maana nakupenda. Miss u zaidi, nimekuwa busy naingia jf kwa kudonoadonoa!
Santeee nawe pia!yaan ht mm leo ndo nimepata wasaa aisee !najihs kukonda aisee !najua upo busy jana kidg nikuchek nami nikawa nimejichokeaaaa! haya mama kila la heri!
Hahaha afadhali nimepata 7up mwenzangu, natumaini ombi langu ntakalokutumia sirini utalipokea[emoji39]
Msalimie mtabibuSanteee nawe pia!
Komaaaaaaaaah babu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Inaweza ikawa kwa fikra za kawaida ukajiuliza nikaapo hawapo mpaka nitafute hapa?, lakini when you search someone to be your wife your never know utakutana nae kwenye mazingira yapi!, natafuta ambaye even her eyes closed but her heart still open. Vigezo no kuanzia maji ya kunde in nature, asitumie mkorogo, umri kuanzia miaka 22 mpaka 33, elimu kuanzia form four na kuendelea, dini muislamu, awe na real love, a kind of love no matter what happen but we can be forever. Only a serious girl are welcome.
Thanks for understand kkwa taarifa zaidi au ufafanuzi wa ziada p.m
Dada nakuonya mara ya pili hapa ni Dar to Kigoma na siyo Dar to Msata je utauweza mziki huu lakini? Mimi sitaki murder case baadae tafadhali.
Mwanamke mwenye mume mlevi njooni hapa tufutane machozi [emoji23] [emoji23][emoji12] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]ben ten