Sasa hapo umempendea nini?Gari ina sensa zaidi ya usalama wa taifa hapo ndio napompenda mzungu
Watu wanamchulia Mjapan kizembe, niliiona Lexus ls430 model ya 2001 Ina hizo rain-sensing wiper nikashangaa tu.Watu wanadhani hizo tech Ni kitu kipya kumbe tangu 2001 zipo kwny magari ya watu.Hahahhahahah sensa ziko kila kona yani😅 mpaka kwenye wipers😀
Waambie wanao kuhadithia hizi mambo wapunguze kukudanganya mzee.Kuwa mpole yatakukuta
Kama swala la sensor wipes kuna baadhi ya kluger niliona inayo ikiingia kwenye maji au ukimwagia maji mengi kioo cha mbeleWatu wanamchulia Mjapan kizembe, niliiona Lexus ls430 model ya 2001 Ina hizo rain-sensing wiper nikashangaa tu.Watu wanadhani hizo tech Ni kitu kipya kumbe tangu 2001 zipo kwny magari ya watu.
Kluger Sikua nimefahamu.Ni kluger generation gani hio?1st au 2nd?Maana Kama Ni zile 3rd/ 4th siwezi nikashangaa.Kama swala la sensor wipes kuna baadhi ya kluger niliona inayo ikiingia kwenye maji au ukimwagia maji mengi kioo cha mbele
Hakuna usmart wowote bmw 2007 kurudi nyuma ni kama kilitime tu mafundi weshazielewa. Kuzielewa simaanishi kuwa zigongwe nyundo, hata rav4 massawe haistahili kugongwa nyundo.BMW haiwez kujuliwa na akina fundi masawe ile ni very senstive sana haihitaji elimu ya darea la vii na kugonga nyundo inahitaji MECHANIC ENGEER ,aliyesoma acha kuwadanganya waru waharibiwe magari ,gari za ulaya sio toyo kila fundi anajifunzia zina smart inteligency...
Waambie wanao kuhadithia hizi mambo wapunguze kukudanganya mzee.
KWA kwel sikumbuki ni ipi lakn ilikuwa ni hizi hizi normalKluger Sikua nimefahamu.Ni kluger generation gani hio?1st au 2nd?Maana Kama Ni zile 3rd/ 4th siwezi nikashangaa.
kama upo Dar njoo PM nikupe namba ya reliable fundi