Natafuta Sponsor

Hmaster

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
346
Reaction score
86
Baada ya kukosa udhamini wa serikali natafuta private sponsorship ili niweze kujiunga na chuo mapema mwezi ujao. Kuna mwenye uelewa wa namna na kutafuta sponsors? Naombeni mnisaidie!
 
Baada ya kukosa udhamini wa serikali natafuta private sponsorship ili niweze kujiunga na chuo mapema mwezi ujao. Kuna mwenye uelewa wa namna na kutafuta sponsors? Naombeni mnisaidie!

Nijulishe matokeo yako na masomo uliyofanya mapema iwezekanavyo. Naweza kukusaidia lakini iwe haraka. Ni bora uweke na simu yako nikupigie
 
Nijulishe matokeo yako na masomo uliyofanya mapema iwezekanavyo. Naweza kukusaidia lakini iwe haraka. Ni bora uweke na simu yako nikupigie

Sio Hmaster pekeake mkuu anashuda iyo tupo wengi sana tunatafuta sponsors..kama unamsaada naomba uniwezeshe na mm ntaku PM details zangu
 
Sio Hmaster pekeake mkuu anashuda iyo tupo wengi sana tunatafuta sponsors..kama unamsaada naomba uniwezeshe na mm ntaku PM details zangu

kama una dv 1.3 ni pm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…