Mwislam by choice
JF-Expert Member
- Sep 23, 2017
- 361
- 471
Soma story ya nilizani kahaba Kumbe bikra kuna mengi yakujifunza humoAgizo la majini
Agizo la majini 1-5 RIWAYA: AGIZO LA MAJINI MTUNZI: MR ROYNOO WHATSP NO: 0786978618 Sehemu ya 1 Naitwa Mr Roynoo a.k.a mnyama dumaa wengine wanapenda kuniita kwa kwakufupisha hasa hasa mabinti wazuri wazuri wananiita "Roy" nilishaumwaga magonjwa baadhi ya kidunia mfano, homa na Nk. ila yote...www.jamiiforums.com
Watu mpaka tumeimaliza tunairudia tena 🤔Soma story ya nilizani kahaba Kumbe bikra kuna mengi yakujifunza humo
Basi asome hii SHETANI RUDISHA AKILI ZETU ndo inaanza mtu si huyo huyo singano jrWatu mpaka tumeimaliza tunairudia tena 🤔
Me natak humuhumu 🤔Mtafute bwana Habib Hanga japo hadith zake mwishoni hamalizii humu anakuvutia huko whatsup akakupige hela
ndugu yangu naomba majina ya story zilizokamilika za huyu mwandishi Singano Jr nimesoma hii ya nilidhani kahabaWatu mpaka tumeimaliza tunairudia tena 🤔
Me sidhani kama kuna nyengine zaidi ya hiyo mkuundugu yangu naomba majina ya story zilizokamilika za huyu mwandishi Singano Jr nimesoma hii ya nilidhani kahaba