Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Wadau wamepita nayo 😅😅Haipo kwanini basi nisimulie inbox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau wamepita nayo 😅😅Haipo kwanini basi nisimulie inbox
Basi njoo inbox nisimulieWadau wamepita nayo 😅😅
Nafikiria kuleta story nyingine as a replacement ya hii iliyofutwaBasi njoo inbox nisimulie
Noma sana dahNmekukumbusha mbali mwenyewe, ukafatilia story mwanzo mwisho [emoji16]
Hii ni sawa na kuweka Chai kwenye Chupa ili unywe hata kesho yake.Brother mkubwa Analyse kama itakupendeza "NAKUOMBA" uziweke kwenye mfumo mzuri wa pdf ili kuwe na urahisi wa kusoma hata pale mtu anapokuwa mbali na internet
By the way unajua sanaa pokea maua yako kabla sijala ban
Nipe link
Mkuu hivi ile story uliyoianza juzi ndo imefutwa??Nafikiria kuleta story nyingine as a replacement ya hii iliyofutwa
Ndio
dah mkuu fanya mpango nimemis kazi zako.Ndio
Poa poa mkuu, usiwazedah mkuu fanya mpango nimemis kazi zako.
shukhran mheshimiwaPoa poa mkuu, usiwaze
Pamoja 👊shukhran mheshimiwa
Kwann imefutwaNdio
kaka mkubwa kumbe ile ya juzi ulioanza imefutwa? nimeitafuta sana bila mafanikio.Nafikiria kuleta story nyingine as a replacement ya hii iliyofutwa
Yeah broh, imeenda. Nikipewa ruhusa nitaiweka jukwaani. Ila for now siruhusiwi kuiweka publickaka mkubwa kumbe ile ya juzi ulioanza imefutwa? nimeitafuta sana bila mafanikio.
dah! pole sana nlisumbuka sana kuipata sana any way ngoja tusubiri kaka.Yeah broh, imeenda. Nikipewa ruhusa nitaiweka jukwaani. Ila for now siruhusiwi kuiweka public
Poa poa kaka 👊dah! pole sana nlisumbuka sana kuipata sana any way ngoja tusubiri kaka.
pamoja sana.Poa poa kaka 👊