Hello wana JF!
Jamani nna rafiki yupo somewhere nje ya nchi ameniambia anataka sukari guru (unfortified/unprosessed sugar)almost 1TON kuna mtu ana idea inapozalishwa hapa TZ nimejaribu kuuliza ktk viwanda vyote vya sukari hapa nchini wanasema hawana!any idea pleaseee!
Jamani nna rafiki yupo somewhere nje ya nchi ameniambia anataka sukari guru (unfortified/unprosessed sugar)almost 1TON kuna mtu ana idea inapozalishwa hapa TZ nimejaribu kuuliza ktk viwanda vyote vya sukari hapa nchini wanasema hawana!any idea pleaseee!