Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ya kawaida bado ni sumu!Tumia tu ya kawaida utapata faida usiwanyweshe watu sumu
Tunywe juice isio na sukari 😁Hata ya kawaida bado ni sumu!
Kama ni juice ya matunda tayari kuna sukari ya kutosha humo bageshi. Hupaswi kuongezea hii ya Mtibwa...labda tu kijiko kidogo cha asali kama unayo 😁Tunywe juice isio na sukari 😁
Niliacha kitambo sana , juice siku hizi ni option ya watu walioona sukari haitoshi kwenye sodaNdio maana siku hizi sinywi hayo majuice tena
Hii ya kiwandani itakuwa na sumu zaidi na pengine inatakiwa itumike na additives ambazo pia ni neutralisers.Hata ya kawaida bado ni sumu!
Watafute hawa jamaa wanaitwa INGREDIENTS CENTER TZ ofisi zao zipo Mawasiliano karibu na duka la mr cadetWadau naomba mwenye kufahamu wanapouza sukari Kali ya unga ya kutengenezea juice anifahamishe kwani Ninashida nayo.
Sukari hiyo hutumika kutengenezea soda coca cola, pia naomba msaaada kwa mwenye kufahamu wanapouza Rangi ya ukwaju.
Mfano wa neutralisers??Hii ya kiwandani itakuwa na sumu zaidi na pengine inatakiwa itumike na additives ambazo pia ni neutralisers.
Mi huwa naishia kusoma tu contents za vinavyotumika kutengeneza soda , kuna sugar concentrate ,na kuna additivesMfano wa neutralisers??
Okay okayMi huwa naishia kusoma tu contents za vinavyotumika kutengeneza soda , kuna sugar concentrate ,na kuna additives
Ivi kama juice ni ya matunda una haja gani ya kuweka sukari? Mtatuua kwa hayo masukari enyi wajasiriamali chipukiziWadau naomba mwenye kufahamu wanapouza sukari Kali ya unga ya kutengenezea juice anifahamishe kwani Ninashida nayo.
Sukari hiyo hutumika kutengenezea soda coca cola, pia naomba msaaada kwa mwenye kufahamu wanapouza Rangi ya ukwaju.
Labda kama unatengeneza yako binafsi ndo sukar ya tunda itakutosha. Lkn kama utaongeza maji umeshafanya dilutionIvi kama juice ni ya matunda una haja gani ya kuweka sukari? Mtatuua kwa hayo masukari enyi wajasiriamali chipukizi
Namba zao ni 0783266378Nisaidiye namba zao maanake Instagram mie situmiii