Natafuta sukari Kali ya unga ya viwandani kwa ajili ya utengenezaji wa juice

Natafuta sukari Kali ya unga ya viwandani kwa ajili ya utengenezaji wa juice

hakuna juice chafu kama wauza juice za miwa, waandaji wenyewe ni wachafu hatari na bahati mbaya ule muwa lazima ushikwe na mikono kuurudishia kukamu, inzi wanajaa wengine wanasagiwa kwenye muwa.
 
Labda kama unatengeneza yako binafsi ndo sukar ya tunda itakutosha. Lkn kama utaongeza maji umeshafanya dilution
Ok tunatofautiana, mm ninaponunua juice wakakamua tunda tu linatoa juice bila kuweka maji yoyote, changamoto kama ni uswazi huwezi uza manake wanataka juice hadi ya sh 200 so lazima ujaze maji mengi na sukari
 
hakuna juice chafu kama wauza juice za miwa, waandaji wenyewe ni wachafu hatari na bahati mbaya ule muwa lazima ushikwe na mikono kuurudishia kukamu, inzi wanajaa wengine wanasagiwa kwenye muwa.
Alafu watengeneza juice ya miwa wengi ni wapemba na warangi, wachafu balaa!!
 
Wadau naomba mwenye kufahamu wanapouza sukari Kali ya unga ya kutengenezea juice anifahamishe kwani Ninashida nayo.

Sukari hiyo hutumika kutengenezea soda coca cola, pia naomba msaaada kwa mwenye kufahamu wanapouza Rangi ya ukwaju.
Ninayo boss
 
Back
Top Bottom