Natafuta supplier wa Samaki toka Mwanza - Ziwani

Natafuta supplier wa Samaki toka Mwanza - Ziwani

Inakubidi uwe na cold room ya kuweza kuhifadhi hizo 20,000kgs hapa Dar au hakikisha una upgrade FRIGOREX ya gari iweze kuungwa kwenye umeme. Gari likifika Dar unalizima unaunga kwenye umeme. Kisha hakikisha unazo delivery points au HAKIKISHA unapata orders kwanza kutoka kwa retailers. Utatoka......am eyeing this angle so badly....nilinunua semi naona hazilipi kesi na madereva haziishi

mkuu CAMARADERIE, lengo langu ni kuwa transporter only, nikifika kwenye destination nina offload mzigo basi

hiyo idea ya cold room tunaweza kumuachia mleta mada - Goodsize akawa wholesaler ... ha ha haa
 
mkuu angalia na kitu kingine ambacho unaweza ukatransport kama samaki watakuwa, labda ungejaribu kucheck na wale wazalishaji wa tanga fresh inawezekana nao wakawa wanaitaji transport kama hiyo.

mkuu CAMARADERIE, lengo langu ni kuwa transporter only, nikifika kwenye destination nina offload mzigo basi

hiyo idea ya cold room tunaweza kumuachia Goodsize ... ha ha haa
 
mkuu angalia na kitu kingine ambacho unaweza ukatransport kama samaki watakuwa, labda ungejaribu kucheck na wale wazalishaji wa tanga fresh inawezekana nao wakawa wanaitaji transport kama hiyo.

great mkuu, nimekusoma, hapa lazima uwe na alternative plan

nadhani Tanga fresh, Mara Dairy (kiwanda kipya/kimefunguliwa upya), Brookside Arusha, hata azam and the like

yes, nadhani bussiness plan itakamilika muda si mrefu ... ha ha haa ... jf ipo juu
 
Wadau asanteni sana, na samahanini nilikuwa out/busy... nitayafanyia kazi yote na tutajuzana promptly.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
mkuu naomba darasa hapo kwenye semi maana nipo mbioni kutokana na maelezo ya watu huko, nisije nikaingia kichwa kichwa

Zion Train

"semi" i hope you refer to haulage business, this is a lucrative business, lakini inabidi uwe around ku control biashara, usimpe mtu au dereva truck yakoasimamie, wewe mwenyewe simamia na tuhakikishe kazi zote zinaletwa kwako, usisubiri hesabu utakufa kwa pressure, kikubwa zaidi funga tracking device kwenye truck yako pia jitahidi upate transit goods ulipwe US dollar, all in all truck yako iwe kwenye condition nzuri na uzingatie maintanance

go go go for that, lakini kama upo hapa nyumbani
 
Brilliant ideas.


Im very impressed!
Ha! impressed is a word I usually don't use very often. Maybe I should do now.

I think most people fail to get started because of the "I don't have the money" or "I don't have enough money" excuses. Money is important but if you don't have it start using your mind as money and figure out a way to get it done!

Na wala si lazima kubeba maziwa yaliyokuwa packed viwandani kama vile Tanga Freshi. Hata maziwa yaliyokamuliwa yanapatikana kwa bei ndogo sana huko mikoani compared to Dar ambapo lita 1 ni 1200 na zaidi. Wakati umefika wavuvi na wafugaji kuwa na vyama vyao vya ushirika ili waweze kukopa collectively na kumiliki hizi facility (refrigerated Trucks) au wawe wanakodisha kama kikundi kwa LAT Transport and Delivery Services. Kwi kwi kwi
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Brilliant ideas.


Im very impressed!
Ha! impressed is a word I usually don't use very often. Maybe I should do now.

I think most people fail to get started because of the "I don't have the money" or "I don't have enough money" excuses. Money is important but if you don't have it start using your mind as money and figure out a way to get it done!

Na wala si lazima kubeba maziwa yaliyokuwa packed viwandani kama vile Tanga Freshi. Hata maziwa yaliyokamuliwa yanapatikana kwa bei ndogo sana huko mikoani compared to Dar ambapo lita 1 ni 1200 na zaidi. Wakati umefika wavuvi na wafugaji kuwa na vyama vyao vya ushirika ili waweze kukopa collectively na kumiliki hizi facility (refrigerated Trucks) au wawe wanakodisha kama kikundi kwa LAT Transport and Delivery Services. Kwi kwi kwi

Enterprenuer

we need this sort of moral support like above mentioned by you

this is an idea that by now i am strickly finalizing a bankable business plan, what i am left behind are some few questions about target customers and market in which i will complete the market research in one week, i have a worth security (collateral) and i will make sure that this business idea come into reality very soon,

i will keep posting the progress of this business idea till excecution and tell the returns and profit as time goes on

i urgue all Tanzanian who wish to be entreprenuers to crack and use their mind, as you hinted that our minds are the first and foremost capital in our business ideas
 
great mkuu, nimekusoma, hapa lazima uwe na alternative plan

nadhani Tanga fresh, Mara Dairy (kiwanda kipya/kimefunguliwa upya), Brookside Arusha, hata azam and the like
sheria za TDFA?samaki na madhiwa ipoje?Pale Jangwani kuna showroom ya magari zipo lory zenye coldroom for sale pitia hapo.Pia why usianzishe ufugaji wa Sato,Sangala popote apa Tanzania,badala ya kusumbuka mpaka mwanza..na samaki wenyewe wamepungua hivi.Vitoto vya samaki (sato) ni tsh 50,na unaanza wauza baada ya miezi 3.kwa bei kuanzia elf 3000.Nategemea kuanzisha ufugaji huu,alafu nidominate supply ya samaki wa michemso katika Mabaa Dar yote.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Enterprenuer

we need this sort of moral support like above mentioned by you

this is an idea that by now i am strickly finalizing a bankable business plan, what i am left behind are some few questions about target customers and market in which i will complete the market research in one week, i have a worth security (collateral) and i will make sure that this business idea come into reality very soon,

i will keep posting the progress of this business idea till excecution and tell the returns and profit as time goes on

i urgue all Tanzanian who wish to be entreprenuers to crack and use their mind, as you hinted that our minds are the first and foremost capital in our business ideas

Kila la heri mkuu kwenye hii Plan yako.
Ni imani yangu utafanikiwa kwan soko naliona na mahitaji nayaona, but cha msingi ni wewe kufinalize hiyo market research kwanza uone itakupatia nini kwani bank hawapendi biashara ya kubahatisha.

Kuna post moja umearticulate charges kwa kg, that means utakuwa unasubiri mpaka gari ijaze mzigo ndio safari ianze kwani kuondoka na mzigo nusu haitalipa. Sasa hapa ndio kuna changamoto, kwani si rahisi kwa mfanyabiashara wa kawaida kujaza tani zote 15 . Mimi kama mfanyabiashara ninapopakia samaki wangu kwenye gari yako ninakuwa na matarajio ya kupokea mzigo sokoni after two days. Sasa utakaponicheleweshea kwa kuwa wewe unangojea mzigo mwingine hatutaelewana kabisa.

Mimi nadhani itakuwa suala la msingi kucheki kwanza wale wasafirishaji wenye uwezo wa kukodisha gari kama gari, na hapa ndio linakuja lile suala na vyama vya ushirika vya hawa watu (wavuvi na wafugaji) na makampuni. Ukiwapata hawa umemaliza but kutegemea msafirishaji mmoja mmoja kama Goodsize itakula kwako. Kama ungekuwa na interest ya maziwa kutoka mkoa wa Tanga ningekuPM contact za mtu anayejihusiha na vyama vya watu wenye Ng'ombe wa Maziwa kwa mkoa mzima ili akupe details za mahitaji ya hizo huduma.

Mbali na hapo tafuta vikundi vya aina hiyo kwa mikoa ya Mwanza, Mara na Shiyanga, ili kupata watu wengi wenye common interest kwa wakati mmoja
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Kila la heri mkuu kwenye hii Plan yako.
Ni imani yangu utafanikiwa kwan soko naliona na mahitaji nayaona, but cha msingi ni wewe kufinalize hiyo market research kwanza uone itakupatia nini kwani bank hawapendi biashara ya kubahatisha.

Kuna post moja umearticulate charges kwa kg, that means utakuwa unasubiri mpaka gari ijaze mzigo ndio safari ianze kwani kuondoka na mzigo nusu haitalipa. Sasa hapa ndio kuna changamoto, kwani si rahisi kwa mfanyabiashara wa kawaida kujaza tani zote 15 . Mimi kama mfanyabiashara ninapopakia samaki wangu kwenye gari yako ninakuwa na matarajio ya kupokea mzigo sokoni after two days. Sasa utakaponicheleweshea kwa kuwa wewe unangojea mzigo mwingine hatutaelewana kabisa.

Mimi nadhani itakuwa suala la msingi kucheki kwanza wale wasafirishaji wenye uwezo wa kukodisha gari kama gari, na hapa ndio linakuja lile suala na vyama vya ushirika vya hawa watu (wavuvi na wafugaji) na makampuni. Ukiwapata hawa umemaliza but kutegemea msafirishaji mmoja mmoja kama Goodsize itakula kwako. Kama ungekuwa na interest ya maziwa kutoka mkoa wa Tanga ningekuPM contact za mtu anayejihusiha na vyama vya watu wenye Ng'ombe wa Maziwa kwa mkoa mzima ili akupe details za mahitaji ya hizo huduma.

Mbali na hapo tafuta vikundi vya aina hiyo kwa mikoa ya Mwanza, Mara na Shiyanga, ili kupata watu wengi wenye common interest kwa wakati mmoja

mkuu, very valuable contribution

baada ya kumaliza market research nitatoa result (analysis) yake hapa, lakini soko na wateja ninaotegemea (target) ni wauzaji wa samaki wa jumla ambapo ninategemea watakuwa na idadi fulani kutokana na uhitaji wao, hapa nimeelezea kwenye post moja kwamba kutakuwa na plastic (UPVC) cans (containers) zenye uwezo wa kubeba 100kg hivyo basi kila mwenye hitaji la kusafirisha samaki starting from 100kg atapata huduma hii ya usafiri, siyo lazima mtu akodishe gari zima, kwenye projections zangu nimepanga kwamba truck itakuwa na shedule ya two trips per week, pia nintategemea sana pre booking na ni dhahiri kwamba pale mizigo ya samaki ikiwa michache bei ya usafiri itaongezeka lakini bei hii lazima iwe calculated based on average na sio the whole 15 tons, hii ni sawa sawa na mfano wa biashara ya mabasi ya abiria, siku nyingine unaweza pata abiria 20 na on peak basi linajaa 60 passengers , ha haa haaa

nashukuru kwa mchango wako kwamba ukiweza kupata contract customers itakuwa biashara yenye uhakika zaidi

@ Chipukizi, asante sana mkuu, plan yangu ni kuwa transportation provider only
je? hapo jangwani wana scania refrigirated body truck
 
asante sana kwa maelezo haya mazuri mkuu LAT, nimekuelewa na nimekupata, nikiwa nafanya hichi kitu itanibidi nikutafute hili tuongee zaidi, nafikiri tunaweza kusaidiana kwa njia moja ama ingine mkuu, pamoja sana.

Zion Train

"semi" i hope you refer to haulage business, this is a lucrative business, lakini inabidi uwe around ku control biashara, usimpe mtu au dereva truck yakoasimamie, wewe mwenyewe simamia na tuhakikishe kazi zote zinaletwa kwako, usisubiri hesabu utakufa kwa pressure, kikubwa zaidi funga tracking device kwenye truck yako pia jitahidi upate transit goods ulipwe US dollar, all in all truck yako iwe kwenye condition nzuri na uzingatie maintanance

go go go for that, lakini kama upo hapa nyumbani
 
  • Thanks
Reactions: LAT
asante sana kwa maelezo haya mazuri mkuu LAT, nimekuelewa na nimekupata, nikiwa nafanya hichi kitu itanibidi nikutafute hili tuongee zaidi, nafikiri tunaweza kusaidiana kwa njia moja ama ingine mkuu, pamoja sana.

mkuu, tupo pamoja

get in touch
 
Kila la heri LAT, utamwambia dereva awe ananidondoshea samaki wawili watatu kabla hawajafika huko.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Kila la heri LAT, utamwambia dereva awe ananidondoshea samaki wawili watatu kabla hawajafika huko.

my pleasure, yaani usihofu kila wiki utapata kitoweo cha sato, samaki wanaongeza ufanisi wa kazi ya ubongo
 
mkuu CAMARADERIE, lengo langu ni kuwa transporter only, nikifika kwenye destination nina offload mzigo basi

hiyo idea ya cold room tunaweza kumuachia mleta mada - Goodsize akawa wholesaler ... ha ha haa

LAT
kwa hali ya sasa kufikisha tani 3 za samaki within 2/4 days ni mbinde c'se samaki wameadimika sana mwanza huwezi amini siku hizi inabidi ukae nje kusubiri samaki wapite na samaki mmoja sasa hivi mwanza ni 2400-3000/=. Kama wewe ni transporter ni lazima uwe na refrigerated room mwanza ili mzigo ujae (almost 4-7 days) na uweze kuusafirisha as you know mvuvi wa mwanza anachokijua yeye ni kuuza samaki tu! mambo ya fridge hataki kuyasikia, kwa hapa inakuwa kipindi upo njiani kupeleka mzigo dar, huku mwanza mzigo mwingine unaendelea kuingizwa room and so ukija mwanza (kama ilivyo plan yako kufanya route 2 kwa wiki) mzigo unakuta umekaribia kujaa.
challenge nyingine ni kwamba watu wa mabus sasa hivi wanasafirisha sana samaki mwanza-dar na bei zao zipo chini
 
my pleasure, yaani usihofu kila wiki utapata kitoweo cha sato, samaki wanaongeza ufanisi wa kazi ya ubongo

utanisaidia kweli, maana juzi ndio nimegundua ubongo wangu haufunction vizuri.
 
LAT
kwa hali ya sasa kufikisha tani 3 za samaki within 2/4 days ni mbinde c'se samaki wameadimika sana mwanza huwezi amini siku hizi inabidi ukae nje kusubiri samaki wapite na samaki mmoja sasa hivi mwanza ni 2400-3000/=. Kama wewe ni transporter ni lazima uwe na refrigerated room mwanza ili mzigo ujae (almost 4-7 days) na uweze kuusafirisha as you know mvuvi wa mwanza anachokijua yeye ni kuuza samaki tu! mambo ya fridge hataki kuyasikia, kwa hapa inakuwa kipindi upo njiani kupeleka mzigo dar, huku mwanza mzigo mwingine unaendelea kuingizwa room and so ukija mwanza (kama ilivyo plan yako kufanya route 2 kwa wiki) mzigo unakuta umekaribia kujaa.
challenge nyingine ni kwamba watu wa mabus sasa hivi wanasafirisha sana samaki mwanza-dar na bei zao zipo chini

Mkuu, Thank you for this useful information
 
I'm learning some thing here! Jf hakika iko juu sana. Mku LAT, Caro anakutafuta tehetehe!
 
Kama kuna mtua ana-supply samaki wa ziwani - Mwanza au unamfahamu mmoja, tafadhali naomba tuwasiliane au nitumie contact zake. Natanguliza shukrani.
Ahsante


Wasiliana na Mr. Sanga :
Cell Phone No:- 0754-770960, 0713-619323.
Huyu ni supplier wa sato toka Mwanza.
 
Back
Top Bottom