Abbitto
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 547
- 747
Habarini kinandugu,Mimi ni mwanamama aged 33 Niko dar,Niko na dip ya procurement& supply.Natafuta tender ya kusupply beef fillet,steak,Nundu na Samaki sato,sangara local vegetables na fruits kwenye mahoteli,migahawa na hata watu binafsi.Tayari ninafanya hizi biashara nataka nikuze kipato.maswali uliza hapahapa Kwa faida ya wengine.Natanguliza shukrani zangu za dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app