Natafuta tender ya kusupply beef na local vegetable& fruits

Natafuta tender ya kusupply beef na local vegetable& fruits

Mkuu,
Biashara ni kupambana. Nikutie moyo kila biashara ama wazo la biashara ni faida. Cha msingi ni kupambana bila kucboka kumbuka wapo walio waza kama wewe, wapo walio kamata tenda tayari lkn wewe unawe ingia na kufanya vzr zaidi.

Kila la kheri,


Pia naweza kukusaidia kwa mambo kadhaa hapo chini, usisite kututafuta

HUENDA WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Annual Retur - Brela
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA

Ushauri ni Bure...


Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ni sole prop na pia nimesoma procure so vingi navijua asante
 
Madam unaonekana unauzoefu mkubwa sana. Nachoona kinamiss kwako nikwamba huna Convising power au Lobbing skills.

Jikite huko sana, mie mama mdogo alipindua tender ya kusupply mayai hivi hivi naona kwenye hoteli kama 3 na alitumia mdomo, karatasi na Peni.

All the best...
 
Nenda food lovers kabonge nao
Ila hikidhi tu standard yao

Ova
 
Madam unaonekana unauzoefu mkubwa sana. Nachoona kinamiss kwako nikwamba huna Convising power au Lobbing skills.

Jikite huko sana, mie mama mdogo alipindua tender ya kusupply mayai hivi hivi naona kwenye hoteli kama 3 na alitumia mdomo, karatasi na Peni.

All the best...

Alitumia mdomo upi?
 
Hongera kwa hatua nzuri hiyo, vp umeolewa au una mchumba?
 
Back
Top Bottom