ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Wapendwa,
Nimejaribu kupita sehemu nyingi hapa Dar ili nipate thamani za ofisi ready made ambazo zimetengenezwa kwa mbao za hapa nyumbani, Mninga, Mvule, Mkongo nk.
Sijaona sehemu ambayo kuna thamani makini kwa ajili ya modern Office, shida ya watengenezaji wengi ni style ya umaliziaji wa thamani hizo, nyingi huonekana hazina mvuto sana tofauti na zile zinazotoka Malysia nk nk.
Anyone with idea
Nimejaribu kupita sehemu nyingi hapa Dar ili nipate thamani za ofisi ready made ambazo zimetengenezwa kwa mbao za hapa nyumbani, Mninga, Mvule, Mkongo nk.
Sijaona sehemu ambayo kuna thamani makini kwa ajili ya modern Office, shida ya watengenezaji wengi ni style ya umaliziaji wa thamani hizo, nyingi huonekana hazina mvuto sana tofauti na zile zinazotoka Malysia nk nk.
Anyone with idea