Sema budget yakoWana JF
Nahitaji Toyota Premio Model mpya
Engine size CC 1450
Iwe ya Silver au nyeupe rangi nyingine pia sio mbaya
Namba D za Mwisho au Namba E.
Mwenye nayo aitumie meseji Inn bOX (dm)
Pi mwenye Toyota Rush anicheck
Samahanini sana Madalali nawapenda sana wapiganaji wenzangu...sio mbaya mkikausha.
Eti madalali wakaushe! Kila la heri mkuuWana JF
Nahitaji Toyota Premio Model mpya
Engine size CC 1450
Iwe ya Silver au nyeupe rangi nyingine pia sio mbaya
Namba D za Mwisho au Namba E.
Mwenye nayo aitumie meseji Inn bOX (dm)
Pi mwenye Toyota Rush anicheck
Samahanini sana Madalali nawapenda sana wapiganaji wenzangu...sio mbaya mkikausha.
hivi milioni 16 huagizi gari Japan?Mil.14-16
Unayojitaji Japan inauzwaje?Inategemea na aina ya gari.
Bei ya gari (minimum) Dola = 2500x2750 = Tshs. 6,875,000Unayojitaji Japan inauzwaje?
ni check ya kwangu ni silver nauza mil 16Wana JF
Nahitaji Toyota Premio Model mpya
Engine size CC 1450
Iwe ya Silver au nyeupe rangi nyingine pia sio mbaya
Namba D za Mwisho au Namba E.
Mwenye nayo aje tuzungumze kwenye comments.
Pi mwenye Toyota Rush anicheck. Samahanini sana Madalali nawapenda sana wapiganaji wenzangu...sio mbaya mkikausha.
Kapuku unajua kujifariji sana15million kwa mfuko unayo nikuuzie?