Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Mi natak umaarufu wahumu tuKuna kijana anaitwa Harmorapa fuata njia zake utakuwa famous kinoma noma
Wapi ndugu?![emoji2211]
Ohoooo.......mkuu mbona umeenda mbali sanaNenda kanye mbele ya geti lolote la JWTZ
Kwahiyo ndo nitakuwa maarufu jf??Au aende hata Kariakoo shimoni saa sita mchana, akanye.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125]Simple tu kuwa verified user alafu anza kumkandia mama yetu SSH nakuhakikishia sio hapa JF tu bali Taifa litakutambua vere vere suni
[emoji849]Kuna mzee ni mtaalam (mganga) anaweza kukusaidia. Nikuunganishe nae?
Ngoja nijaribu hiiJitoe ufahamu au ujizime data! [emoji41]
AiseeJitangaze wewe ni shoga chap tuu utakuwa maarufu
Asante [emoji2][emoji2]Jiite Tigo nyeusi alafu uwe unareply kila comment kwa Asante
Utanishukuru baadae
Jiite Tigo nyeusi alafu uwe unareply kila comment kwa Asante
Utanishukuru baadae
fanya vtu amazing tushangae upate umaarufu kijanaHabari zenu ndugu wanaJF
Mimi natamani kuwa maarufu humu au niwe super star waJF kama akina mwafulani
Sasa nifanyeje ili lengo langu litimie?!
Nipeni mbinu wakuu