Natafuta umaarufu

Natafuta umaarufu

Tuma pesa kwenye no hii nikupe mbinu moja tu ikifeli narudisha mala saba ya pesa uliyotuma....kazi kwako
 
Jiite Tigo nyeusi alafu uwe unareply kila comment kwa Asante

Utanishukuru baadae
 
Habari zenu ndugu wanaJF

Mimi natamani kuwa maarufu humu au niwe super star waJF kama akina mwafulani

Sasa nifanyeje ili lengo langu litimie?!

Nipeni mbinu wakuu
fanya vtu amazing tushangae upate umaarufu kijana
 
Back
Top Bottom