Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Wakuu,
Katika harakati za kusapoti Wamakonde wenzangu kwenye hiki kipengele cha kunywa uji wa mhogo usiokuwa na chumvi wala sukari,
Nimehangaika sana maduka kibao ya huku tabata_barakuda kutafuta unga wa muhogo angalau kilo 6 nipike uji wangu wa kutosha kama ndoo nne hivi,
Niudufue ili kwenda sawa na wamakonde wenzangu walioko Mtwara,
Hususani maeneo ya tandahimba na viunga vyake.
Kama kuna anayeuza unga wa muhogo anijuze fasta hapa wakuu ili ninunue kwa bei yoyote.
[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]
Katika harakati za kusapoti Wamakonde wenzangu kwenye hiki kipengele cha kunywa uji wa mhogo usiokuwa na chumvi wala sukari,
Nimehangaika sana maduka kibao ya huku tabata_barakuda kutafuta unga wa muhogo angalau kilo 6 nipike uji wangu wa kutosha kama ndoo nne hivi,
Niudufue ili kwenda sawa na wamakonde wenzangu walioko Mtwara,
Hususani maeneo ya tandahimba na viunga vyake.
Kama kuna anayeuza unga wa muhogo anijuze fasta hapa wakuu ili ninunue kwa bei yoyote.
[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]