Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwani unavyosikia neno broiler huwa unaelewa nini?Kwamba broiler wana vijogoo [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unavyosikia neno broiler huwa unaelewa nini?Kwamba broiler wana vijogoo [emoji16][emoji16]
Unamaanisha broilers ni majogoo wa nyama enh?Kwani unavyosikia neno broiler huwa unaelewa nini?
Mwanza wanapatikana mkuu?
[emoji2][emoji2][emoji2]kuku mchanga anayefaa kuchomwa, au kuoka.
Nakusudia wanaopatikana kutoka kwa layers.Hata hao vijogoo ni broiler pia.
njoo tazara mkuza chicks bei 1900 no 0684586458Habari wadau? Nashida na vifaranga vya broiler kwa yoyote anae fahamu wapi nitapata naomba mawasilianao.