nINA SHAMBA TANGA handeni nataka kulima mahindi ni heka 30, nataka kuanza kwa kulima heka kumi, shamba linatakiwa liandaliwe sio pori ila kuna majani makubwa sana yameota na mengine yana mizizi, baada ya hao kutakuwa na kupanda nakuendelea na palizi.
Mwenye vijana anisaidie nauli ya kuwatoa mkoani ipo icase wako mkoa tofauti. nahitaji vijana kwanzia wawili mpaka wanne
Mwenye vijana anisaidie nauli ya kuwatoa mkoani ipo icase wako mkoa tofauti. nahitaji vijana kwanzia wawili mpaka wanne