Natafuta vijana wa kufanya kazi za shamba.

Trekta ni mkombozi kwa sehemu yenye matatizo ya nguvu kazi.

Umenichekesha kweli,

Trekta litalinda nyani/nguruwe? Je baada ya mavuno trector litalinda mavuno? Kuna saa za trector na saa za nguvu za mtu kaka.
 

Mkuu mimi nilikuwa nalima tumbaku Urambo. Msimu Ukianza tunachanga na wezangu tunawafuata warundi. Hiyo ni hela nyingi sana Kwao ukijumlisha na chakula. Kwa kilimo hiyo hela ni reasonable kabisa. Ila toka ulilipopita operation Kimbunga nguvu kazi imepungua saana huku. Ulizia hata wasukuma unaweza wapata na wanapiga kazi saana.
 
embu niambieni production per eka ikoje,kwa kilindi na tanga
 
Nahitaji namba yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…