Natafuta vijana wa kuniuzia dagaa za kukaanga kutoka Mwanza

Nyam

Senior Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
134
Reaction score
72
Wapendwa wana JF,

Mimi ni mdada mjasiliamali mdogo, natafuta vijana wa kuniuzia dagaa zangu za kukaanga natoa Mwanza naleta Dar, nimezipack na kuzibland vizuri, ntawalipa kwa commission nzuri tu...

Ili mradi bidhaa zangu ziuzike, nawatamani sana wale vijana wanaoweza kuuza barabarani kwenye foleni...

Kama unamfahamu mtu yeyote anayeweza hii kazi tafadhali nicheki...
Asanteni wote...
 
Nipe wassap namba yako tuyajenge
 
Naomba mrejesho wa QNET. Tangu 2017 uliamini wewe ni next millionaire. Hadi sasa 2021, unatfa kuuza dagaa? Hujaanza kuvuna toka QNET? Ulisema hata ukifa wanao wataendelea kupata pesa tu za QNET
 
Angalia usitapeliwe. Karibu Dar.
 
Naomba mrejesho wa QNET. Tangu 2017 uliamini wewe ni next millionaire. Hadi sasa 2021, unatfa kuuza dagaa? Hujaanza kuvuna toka QNET? Ulisema hata ukifa wanao wataendelea kupata pesa tu za QNET
Hahahahah daah aisee hatari sana.
 
Nadubiri jibu lake huyu mrembo. 2017 aliisifia sana. Nashangaa anauza ma dagaa toka mwanza. Zile salam zao za good morning millionaire zitakuwa hazijsmuinua
Kuna jamaa alinishawishi sana kujiunga Qnet mwaka juzi kama niliotea vile..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…