Haa Kwenye Baridi Huko Mkuu, Dumu Tatu ShidaUko mkoa gani?,Arusha au Mbeya?
DarUko mkoa gani?,Arusha au Mbeya?
Kamilisha Tangazo Lako, Upo Mkoa, Wilaya, Kijiji, Mtaa GaniNatafuta vijana wa kuniuzia juice fresh za matunda za kutembeza kwenye madumu
-wa kike /kiume
-Dumu la lita 5 akimaliza tatu kwa siku
-Mshahara 150,000/=
-Nauli natoa ya kwenda anapotembeza.
Alie tayari weka namba ntakupigia.
UmeonaHaa Kwenye Baridi Huko Mkuu, Dumu Tatu Shida
Kamilisha Tangazo Lako, Upo Mkoa, Wilaya, Kijiji, Mtaa Gani
Sawa SawaTayari
Hatari nduguHalafu watu wanalalamika hakuna ajira; ingekuwa tangazo la ofisini watu 5000 wangekuwa wameleta maombi, ila la kutembeza juisi wanaweza wasipatikane.
Kupanga ni kuchaguaHalafu watu wanalalamika hakuna ajira; ingekuwa tangazo la ofisini watu 5000 wangekuwa wameleta maombi, ila la kutembeza juisi wanaweza wasipatikane.
Mbona kama sijaelewa hivi! Kijana akimaliza dumu 3 za lita 5 kwa siku ndiyo anapewa mshahara wa laki 1 na nusu!Natafuta vijana wa kuniuzia juice fresh za matunda za kutembeza kwenye madumu
-wa kike /kiume
-Dumu la lita 5 akimaliza tatu kwa siku
-Mshahara 150,000/=
-Nauli natoa ya kwenda anapotembeza.
Alie tayari weka namba ntakupigia.
-Nipo Dar es salaam temeke
Ndio kazi zilizobakia; kama wanachagua, wasilalamike ukosefu wa ajiraKupanga ni kuchagua
Lazima uchague usiopokuwa mchaguzi kwenye maisha unaweza hata kuokota makopo na huku ni bachelor degree holderNdio kazi zilizobakia; kama wanachagua, wasilalamike ukosefu wa ajira
Kama uhakika wa kula upo unaeza kuchagua, lakini kama huna uhakika wa kula mchana, utafanya kazi yoyote inayokuja usoni.Lazima uchague usiopokuwa mchaguzi kwenye maisha unaweza hata kuokota makopo na huku ni bachelor degree holder
Utani huo ndugu kwa siku laki na nusu kweli tena juice??,huo ni mshahara kwa mwezi ndugu juice kubaki sio tatizo kwa siku moja moja lkn na sio kubaki dumu mbiliMbona kama sijaelewa hivi! Kijana akimaliza dumu 3 za lita 5 kwa siku ndiyo anapewa mshahara wa laki 1 na nusu!
Au atatakiwa kumaliza kila siku dumu 3 za lita 5, ndiyo mwisho wa mwezi analipwa huo mshahara wa shilingi laki 1 na nusu? Na asipotimiza hayo malengo uliyo muwekea, inakuwaje? Maana siyo kila siku ni Jumapili!!
Hebu unyooshe maelezo tafadhali.