Natafuta vitabu vya zamani

Natafuta vitabu vya zamani

bwegebwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2010
Posts
1,072
Reaction score
186
Wadau habari za leo?

Mimi natafuta vitabu vya hadithi vile vya zamani; nataka vya kununua. Kama kuna mdau hapa anafahamu wapi naweza kuvipata tafadhali nijulishe kwa PM.

Vitabu vifiuatavyo:-

  1. Mashimo ya Mfalme Suleiman
  2. Alfu Lela Ulela
  3. Malimwengu
  4. Hadithi za Esopo
  5. Hekaya za Abunuwasi
  6. Pinokyo
  7. Someni Bila Shida

Asanteni
 
Wadau habari za leo?

Mimi natafuta vitabu vya hadithi vile vya zamani; nataka vya kununua. Kama kuna mdau hapa anafahamu wapi naweza kuvipata tafadhali nijulishe kwa PM.

Vitabu vifiuatavyo:-

  1. Mashimo ya Mfalme Suleiman
  2. Alfu Lela Ulela
  3. Malimwengu
  4. Hadithi za Esopo
  5. Hekaya za Abunuwasi
  6. Pinokyo
  7. Someni Bila Shida

Asanteni

Upo wapi mkuu nikuelekeze pa kuvipata
 
Wadau habari za leo?

Mimi natafuta vitabu vya hadithi vile vya zamani; nataka vya kununua. Kama kuna mdau hapa anafahamu wapi naweza kuvipata tafadhali nijulishe kwa PM.

Vitabu vifiuatavyo:-

  1. Mashimo ya Mfalme Suleiman
  2. Alfu Lela Ulela
  3. Malimwengu
  4. Hadithi za Esopo
  5. Hekaya za Abunuwasi
  6. Pinokyo
  7. Someni Bila Shida

Asanteni


Umefanikiwa kuvipata?
 
Back
Top Bottom