Natafuta wa huba

Natafuta wa huba

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Jamani namtafuta mwenza mwenye kunishauri juu ya mazur au mabaya nayotaka kufanya please email yangu ni kokudopeter42@yahoo.com
 
una umri gani mpaka uombe ushauri kwa mambo unayotaka kufanya?
 
ni jinsia gani kwnza wewe.. mume/mke ?
 
Unatafuta mtu anaitwa HUBA au ? Rose nisaidie
anatafuta huba la moyo wake
liwazo la moyo
nyonga mkalia ini
kidevu msimamia ndevu
kwapa mbeba...a

..
anatafuta wa uban wa kumpepea maruahan yakimpanda..
AU AENDE KWA MAM BG ..ET FINEST....???:doh::doh:
 
anatafuta huba la moyo wake
liwazo la moyo
nyonga mkalia ini
kidevu msimamia ndevu
kwapa mbeba...a

..
anatafuta wa uban wa kumpepea maruahan yakimpanda..
AU AENDE KWA MAM BG ..ET FINEST....???:doh::doh:

Bado huyu yuko kindergaten
 
kweli uyu anaonekana ni wa mabata madogo madogo yanaogelea.....!!!!!!!!!!
 
Hiyo invitataiona haijakamilika, we me/ke? kama me ni bwabwa au bahshaa?
 
Jamani am male age 27 alie tayari please email yangu iko waz ok thanks wote mliochangia nimezpenda sana
 
Jamani am male age 27 alie tayari please email yangu iko waz ok thanks wote mliochangia nimezpenda sana
 
Jamani am male age 27 alie tayari please email yangu iko waz ok thanks wote mliochangia nimezpenda sana

HII SENTENSI KUTAMKWA NA MWANAUME MBONA KAMA MDEBWEDO SANA!!! EENHEE!:hippie:
 
Back
Top Bottom