Natafuta wa kuchat nae

Miaka tatizo khaa! jamani ngoja nikiwa mkubwa
 
Mimi hapa mom,tusimliane namna viboko kwa wanafunz vinavyohamasisha usomaji
 
Sina usingizi natafuta marafiki wa kuchat nao
Wanaume au wanawake walio single
Age 40 to 100
Kwa week hii tu lakini
Kama unaitaji ushauri wa maisha,biashara,kiroho,kimahusiano.niko free kusaidia 24/7
Mkuu, punguza miezi kidogo. I'm below 40
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…