Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yap!.....ilisababishwa na maisha niliyoishi utotoni hadi ujanani kwani niliteswa sana sikuwahi kujua upendo nini kutoka kwa mtu yeyote yule kuanzia kwa wazazi wangu,dada zangu,kaka zangu na ndugu zangu wote!Ya kweli hayo mzee wa chura?
Pole mkuu. Ila miaka 40 kweli hujawahi pata hata uliempenda akakuzingua?Yap!.....ilisababishwa na maisha niliyoishi utotoni hadi ujanani kwani niliteswa sana sikuwahi kujua upendo nini kutoka kwa mtu yeyote yule kuanzia kwa wazazi wangu,dada zangu,kaka zangu na ndugu zangu wote!
Hakuna!.....Mimi naishi mwenyewe huwa siwezi kuishi/kukaa na mtu yeyote katika mapenzi au undugu hata kwa muda wa dakika moja,huwa nahisi ninaweza nikacommit murdering halafu maisha yangu yakachange from bad to worse!!Pole mkuu. Ila miaka 40 kweli hujawahi pata hata uliempenda akakuzingua?
well mkristo mtafute Yesu ndio mfariji wa wapweke na wenye maumivu la sivyo utaumizwa sana dada yanguJamani wana JF,
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.
Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.
Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.
Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.
Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.
Naomba kuwasilisha.
Aliye tayari anipm.
Unahitaji msaada.Hakuna!.....Mimi naishi mwenyewe huwa siwezi kuishi/kukaa na mtu yeyote katika mapenzi au undugu hata kwa muda wa dakika moja,huwa nahisi ninaweza nikacommit murdering halafu maisha yangu yakachange from bad to worse!!
Hizo hisia zako zina matatizo....zinasababisha uishi kwa kuhisi hivyo!Hakuna!.....Mimi naishi mwenyewe huwa siwezi kuishi/kukaa na mtu yeyote katika mapenzi au undugu hata kwa muda wa dakika moja,huwa nahisi ninaweza nikacommit murdering halafu maisha yangu yakachange from bad to worse!!
Pole ina maamuz ulyofanya n magum unapaswa ufanye maamuz ya busara. Angalia ucje ishia kutendwa tena kwa mara ya piliJamani wana JF,
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.
Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.
Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.
Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.
Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.
Naomba kuwasilisha.
Aliye tayari anipm.
Haipendezi kuapa hovyo hovyo bila sababu za msingiWallah jf misiondoki haki....[emoji39] [emoji39] [emoji39]