Natafuta wa kunipoza machungu niliyonayo

Natafuta wa kunipoza machungu niliyonayo

Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
well mkristo mtafute Yesu ndio mfariji wa wapweke na wenye maumivu la sivyo utaumizwa sana dada yangu
jambo jema sana unegundua mapema ni kusudio la Mungu hebu huo upendo unaotaka kumpa mtu mwingine tena hebu Mpe Mungu 100% kila jambo litafanikiwa
stay blessed
 
Hakuna!.....Mimi naishi mwenyewe huwa siwezi kuishi/kukaa na mtu yeyote katika mapenzi au undugu hata kwa muda wa dakika moja,huwa nahisi ninaweza nikacommit murdering halafu maisha yangu yakachange from bad to worse!!
Hizo hisia zako zina matatizo....zinasababisha uishi kwa kuhisi hivyo!
 
Kwa imani utapata hitaji LA moyo wako,ila amini au us is mini uwiano kati ya Me na Ke kwa sasa tofauti ni kubwa sana coz Ke mko wengi zaidi,sasa kupata Me single ni neema tu ila 80%kila mmoja ana wake,sasa ukishalijua hilo basi share na wenzio maana muda wa kuwa na wako peke yako umeshapita,,,OK karibu mm naelekea kisarawe mala moja nitarudi
 
Mi nahitaji kuja pm ila hiyo foleni na jam nadhan itakuwa kubwa ila mi ni muislam sifa mojawapo ishanishinda
 
Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
Pole ina maamuz ulyofanya n magum unapaswa ufanye maamuz ya busara. Angalia ucje ishia kutendwa tena kwa mara ya pili
 
mi niko tayari
njia ya pm siijui nitumie direction niite ubber fastaaaaaaa
 
hv we ni mlokole wa wapi?
kanisa gani hilo lilikufundisha utafute mchumba JF! omba Mungu upate mchumba sahihi, najua hizo ni stress kuwa mpole
 
Back
Top Bottom