Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani nina shida kubwa sana, ndugu wameniandama hali hiyo inanifanya nijiskie vibaya sana. Ni wapi naweza pata mkopo wa shilingi laki mbili au tatu nirejeshe kwa mwezi au kama kuna mtu wa kuweza kunisaidia humu ndani naomba anisaidie naomba.
Kwa ambaye anaweza kunisaidia naomba ani pm nimuelezee shida niliyo nayo.Sijawa open kuekezea shida kwa wote kwa ajili ya usalama wangu.
Naomba jamani mimi ni mwaminifu siwezi fanya ujinga.
Asante kwa kusoma.
hivi mtu akishasema ana shida mnataka ajieleze vipi!!! kwa wanaoweza kumsaidia na wafanye hivo sio mpaka kumchimba mtu kiasi hicho na mwisho muishie kumkejeli bila msaada wowote.
Huwa nagombana na dadangu kwa ajili hii. Eti anaanza tu naomba milioni! Nauliza maswali utadhani ile benki inayochukuaga makochi na masufuria teh teh.
mie hata uniombe elfu kumi, lazma nijiridhishe hehehe. Afu sasa ndo Nyani Ngabu awe house husband wangu?
JF Nzima imeshindwa kumsaidia dada laki tatu?
kweli kabisa na asante sana.hivi mtu akishasema ana shida mnataka ajieleze vipi!!! kwa wanaoweza kumsaidia na wafanye hivo sio mpaka kumchimba mtu kiasi hicho na mwisho muishie kumkejeli bila msaada wowote.
Acha utani bwana.Njoo moro nitakupatia.ila ufanye haraka kabla mama watoto hajarudi toka moshi.huwa ananikatazaga kusaidia watu.ila kwa ww nitakusaidia.ni pm nijue jinsi ya kukutumia nauli.