Kwani wewe una mtu????? samahani kama nakukwazaYaani umesikia humu kuna watoa watu upweke mkuu
<br />Kwani wewe una mtu????? samahani kama nakukwaza
<br />sina,then niko serious
<br />so lonely 25 boy looking for a girl to make relationship with,any girl interested plz send me your contacts.I'm currently found Mwadui SHY
<br /><br /><br />
<br /><br />
upweke wako umekaa sehemu gani hadi unataka utolewe!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Duh maswali mengine Husninyo !! Kijana mwenyewe bado mdogo, hivi akiletewa ngoma kama Husninyo si ataleta post ya kuomba msaada wa kuishughulikia?
Duuhh
Naona Google translater yangu haifanyi kazi ..
Msaada kidoncho..