natafuta wa kunitoa upweke

natafuta wa kunitoa upweke

kp2

New Member
Joined
Aug 1, 2010
Posts
2
Reaction score
0
so lonely 25 boy looking for a girl to make relationship with,any girl interested plz send me your contacts.I'm currently found Mwadui SHY
 
mwadui! Mmmh, haya dada zetu wa shy changamkeni njemba hiyo!
 
Ayaaaaaa.......! Jirani umekumbwa na upweke? Aisee........kila la kheri bana, hope utampata wa kukutoa huo upweke.
 
Mkuu karibu jamvini duh post ya kwanza hivi...!!!?? wengine huwa wanaanza na hodi!!!

Anyway different strokes for different folks
 
Nguruwe pita sina mkuki mie ww haramu kwangu!!!........... boss ebu njoo umalizie palipo bakia.....
 
so lonely 25 boy looking for a girl to make relationship with,any girl interested plz send me your contacts.I'm currently found Mwadui SHY
<br />
<br />
Tumeenea humu, kila polisi na kibaka wake.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
upweke wako umekaa sehemu gani hadi unataka utolewe!
<br />
<br />
Duh maswali mengine Husninyo !! Kijana mwenyewe bado mdogo, hivi akiletewa ngoma kama Husninyo si ataleta post ya kuomba msaada wa kuishughulikia?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Duh maswali mengine Husninyo !! Kijana mwenyewe bado mdogo, hivi akiletewa ngoma kama Husninyo si ataleta post ya kuomba msaada wa kuishughulikia?
<br />
<br />
unanisingizia.
 
Duuhh
Naona Google translater yangu haifanyi kazi ..
Msaada kidoncho..
 
Duuhh
Naona Google translater yangu haifanyi kazi ..
Msaada kidoncho..

Translated by google languate tool....hivyo lonely 25 mvulana kutafuta msichana kufanya uhusiano na, msichana yoyote nia plz kutuma mimi contacts.I yako 'm sasa kupatikana Mwadui aibu
 
duh!..afu unaonekana una kidumu balaa...jaribu kutembeatembea kidogo sio unakaa shy tuuu..arusha,daslam(mlimani city) mbona totoz wao kibao...
 
Back
Top Bottom