JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
Habari wana jf;
Nina kaka yangu wa karibu sana ambaye anatafuta mwanamke atayekuwa tayari kumzalia mtoto.
Bro wangu huyu amehangaika sana, kila mwanamke anayempata hataki kuzaa naye kwani kaka anachotaka ni mtoto tu, halafu hakuna uhusiano utakao fuata baada ya hapo.
Yuko tayari kumlipa mdada au mmama yeyote atakayejitolea kuzaa naye, ila baada ya mtoto kufikisha miaka miwili atakua mali ya baba pekee na mama wa mtoto hatokua na haki yeyote kwa mtoto huyo.
Ni matumaini yangu wadada kwa wamama wa jf mtakua tayari kujitolea na kumzalia mtoto kaka yangu, kwani ameangaika sana jamani.
Kama uko tayari jus ni PM NAMBA YAKO YA SIMU AU E~MAIL THEN NITAKUTAFUTA.
asante
Nina kaka yangu wa karibu sana ambaye anatafuta mwanamke atayekuwa tayari kumzalia mtoto.
Bro wangu huyu amehangaika sana, kila mwanamke anayempata hataki kuzaa naye kwani kaka anachotaka ni mtoto tu, halafu hakuna uhusiano utakao fuata baada ya hapo.
Yuko tayari kumlipa mdada au mmama yeyote atakayejitolea kuzaa naye, ila baada ya mtoto kufikisha miaka miwili atakua mali ya baba pekee na mama wa mtoto hatokua na haki yeyote kwa mtoto huyo.
Ni matumaini yangu wadada kwa wamama wa jf mtakua tayari kujitolea na kumzalia mtoto kaka yangu, kwani ameangaika sana jamani.
Kama uko tayari jus ni PM NAMBA YAKO YA SIMU AU E~MAIL THEN NITAKUTAFUTA.
asante