natafuta wa kuoa

natafuta wa kuoa

luke726

New Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
4
Reaction score
0
jaman sihitaj kuongeA sana, me mtoto wa kiume, mchumba natafta mdada awe 20 yrs
 
mmh hapo kwenye miaka ndo tutashindwa, humu jf wengi tumeshajilia chumvi nyingi, labda ungeenda facebook. kiroho safi
 
Huyu katumwa na babu co bure! yaan 20yrs tu hakuna zaidi wa pungufu! mbona wenzio walopita humu wanasemaga kat ya miaka fulan hadi flna vp ww wataka 20 kamilo?
 
Back
Top Bottom