Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
mwoneni Mjasilia hapo, anawatafuta.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaaani wameisha sasa yahe wataka kuhamia tena JF ?
smart objectives
hapa hamna janja yeyote, issue ni uko smart kichwani unaweza kunishauri kitu cha maana ama tukashauriana ambavyo mimi napenda huwezi usithubutu!
any way interested npm basi!
siku mwoga wa ugomvi hakosi kisingizio, utasikia mara leosiko vizuri, mara ashuru ingekuwa enzi zangu aliyekwambia kuna mtu anakosa enzi ni nani?
Jamani niseme wazi kuhusu ukweli wangu, tangia nikiwa nursery nilikuwa sipendi kuwa na marafiki wa kike, mpaka namaliza chuo sikuwa na rafiki wa kike ata mmoja zaidi ya girlfriend wangu, mtazamo wangu huu nimekuja kugundua kuwa si sahihi, nimekuwa na marafiki wengi wa kiume lakini sijaona msaada wao hasa kimawazo zaidi ya kuwa kichecheo cha kutenda ndivyo sivyo jamii inavyotegemea, sasa nimejaribu kubadili mwelekeo kuwa na marafiki wengi wa kike hasa kushauriana kwa mambo ya kimaendeleo na si vinginevyo...! nawakaribisha sana...sina maana mabya kwa ndugu zangu vidume sikwamba wote ni immoral la..! ila naomba nione vipi kuwa na marafiki wa kike maana siku zote wamekuwa wanadai wanaweza ngoja nione uwezo wao....! asanteni naomba kuwasilisha ANGALIZO nataka wadada smart kuanzia nje hadi kichwani kama wewe ujiwezi usijaribu sawa.!
INTERESTED IN PM......!
Kwa gia hii uliyokuja nayo, mzee utangoja sana.
actually sitaki wanyonyaji wa fikira hapa nipe nikupe hakuna mchezo kama wewe mvivu wa kufikiri usijaribu!