Natafuta waimbaji wa live band katika baa yangu mkoani DSM

Natafuta waimbaji wa live band katika baa yangu mkoani DSM

dvj nasmiletz

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
2,079
Reaction score
2,254
NATAFUTA WAIMBAJI WA LIVE BAND KATIKA BAA YANGU MKOANI DSM

Ninahitaji Mtu/watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover,kavasha,dancersau hata wachekeshaji
au karaoke.

Malipo ni kwa makubaliano maalum kila weekend Kwa kuanza sihitaji Band au Msanii mkubwa/Maarufu kwa sababu ndo naanza. Hivyo kwa baadae nitajiongeza.

Lengo ni kuwa kila weekend wateja wangu wapate burudani.Ahsanteni

Dar-Gongo la mboto
0627474141

Mwenye connection anisaidie plz
 
NATAFUTA WAIMBAJI WA LIVE BAND KATIKA BAA YANGU MKOANI DSM

Ninahitaji Mtu/watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover,kavasha,dancersau hata wachekeshaji
au karaoke.

Malipo ni kwa makubaliano maalum kila weekend Kwa kuanza sihitaji Band au Msanii mkubwa/Maarufu kwa sababu ndo naanza. Hivyo kwa baadae nitajiongeza.

Lengo ni kuwa kila weekend wateja wangu wapate burudani.Ahsanteni

Dar-Gongo la mboto
0627474141

Mwenye connection anisaidie plz
Unatafuta waimbaji wa live band halafu hutaki band.

Kiswahili kigumu sana.
 
NATAFUTA WAIMBAJI WA LIVE BAND KATIKA BAA YANGU MKOANI DSM

Ninahitaji Mtu/watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover,kavasha,dancersau hata wachekeshaji
au karaoke.

Malipo ni kwa makubaliano maalum kila weekend Kwa kuanza sihitaji Band au Msanii mkubwa/Maarufu kwa sababu ndo naanza. Hivyo kwa baadae nitajiongeza.

Lengo ni kuwa kila weekend wateja wangu wapate burudani.Ahsanteni

Dar-Gongo la mboto
0627474141

Mwenye connection anisaidie plz
Boss, vifaa vya kufanyia hiyo live band tayari unavyo? Au tutatakiwa sisi waimbaji ndiyo tuje na vifaa vyetu?
 
NATAFUTA WAIMBAJI WA LIVE BAND KATIKA BAA YANGU MKOANI DSM

Ninahitaji Mtu/watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover,kavasha,dancersau hata wachekeshaji
au karaoke.

Malipo ni kwa makubaliano maalum kila weekend Kwa kuanza sihitaji Band au Msanii mkubwa/Maarufu kwa sababu ndo naanza. Hivyo kwa baadae nitajiongeza.

Lengo ni kuwa kila weekend wateja wangu wapate burudani.Ahsanteni

Dar-Gongo la mboto
0627474141

Mwenye connection anisaidie plz
Band ipo , tutafanya kazi kwa makubaliano kila weekend kupiga kwenye bar yako kwa malipo yasiyoumiza pande zote mbili....band yetu imekamilika kwa kila kitu.

Je upo tayari kwa biashara hiyo? ...
 
Band ipo , tutafanya kazi kwa makubaliano kila weekend kupiga kwenye bar yako kwa malipo yasiyoumiza pande zote mbili....band yetu imekamilika kwa kila kitu.

Je upo tayari kwa biashara hiyo? ...
nimekupm
 
Back
Top Bottom