Natafuta warehouse Kariakoo na maeneo jirani

Natafuta warehouse Kariakoo na maeneo jirani

karma

Member
Joined
Apr 21, 2022
Posts
26
Reaction score
38
Habari zenu wakuu.

Mwenye uelewa naomba aniisaidie hapa Natafutaa warehouse kama kichwa cha thread kinavyojieleza hapo, either kwa kupanga au kununua kabisa.

Lakini kabla ya kufanya uamuzi naomba kufahamishwa haya mambo mawili

1-Kwa kupanga, kodi hukipwa kwa muda gani?

2-Nimesikia kuna kodi inaitwa “stanford duty” mtu akipanga hiyo warehouse mbali na kodi ya pango.Je hii ni kweli? Na

3-Mtu akinunua hiyo warehouse a kaimiliki bado ataendelea kulipia hiyo duty?

4- Raia wa kigeni anaweza kununua warehouse Tanzania?

Naombeni maarifa juu ya hili ndugu zangu.

Natanguliza shukrani.
 
Habari zenu wakuu.

Mwenye uelewa naomba aniisaidie hapa Natafutaa warehouse kama kichwa cha thread kinavyojieleza hapo, either kwa kupanga au kununua kabisa...
What is that stanford duty? Imetokeaje tokeaje katika maelezo uliyoyapata kuhusu hiyo?
 
What is that stanford duty? Imetokeaje tokeaje katika maelezo uliyoyapata kuhusu hiyo?
Hii nimeambiwa na mtu niliyeanza kumuuliza mara ya kwanza kabisa.Nimejiuliza pia sijawahi sikia duty au tax yoyote ya jina hili. As Mimi sio mzoefu wa biashara nikaona nililete hapa may be naweza kuelimishwa zaidi.
 
Hapa ni stoo mkuu.
Kumbe stoo? Kwa kawaida naonaga stoo ni floor ya tatu huko.. wachache wamepata undergound lakini kariakoo expensive sana kwa stoo kwann usinunue hata mbagala au tabata huko unatoa mzigo kidogo kidogo unapeleka shop. Mana experience nilio nayo ya wafanyabiahsra wakubwa kariakoo wamefanya hivyo hasa wanaouza vifaa vya spare magari/pikipiki na baadhi ya wauza pochi. Lakini stoo kw urahsi na cheap ungetafuta upande ule wenye unaouza majora ya vitambaa
 
Shukrani sana mkuu.Nitalifanyia kazi hili
Kumbe stoo? Kwa kawaida naonaga stoo ni floor ya tatu huko.. wachache wamepata undergound lakini kariakoo expensive sana kwa stoo kwann usinunue hata mbagala au tabata huko unatoa mzigo kidogo kidogo unapeleka shop. Mana experience nilio nayo ya wafanyabiahsra wakubwa kariakoo wamefanya hivyo hasa wanaouza vifaa vya spare magari/pikipiki na baadhi ya wauza pochi. Lakini stoo kw urahsi na cheap ungetafuta upande ule wenye unaouza majora ya vitambaa
 
Back
Top Bottom