Natafuta wateja wa Mafuta ya Alizeti

Sasa hivi wanayachakachua sana kwa kuyatia polymers, na kuyakamua tena...sasa matokea watumiaji wanastukia wanakufa macho taratibu!
Be careful!
Muuzaji tafadhali usije ukawa ajenti wa upofu kwa wanunuzi!

True dat!!
 
Kama kiwanda kipo Dodoma, je watu wa Dodoma wanaweza kununua hapohapo Dodoma au hadi yaje Dar na mwisho yarudi tena Dodoma. Morogoro je? Tabora je?

Kama kiwanda kipo Dodoma, na hulipi nauli hadi Dar, bei yake inakuwaje?


Kila la kheri.

Nasubiri jibu la swali hili
 
Kweli nimekuamini wewe ni Entrepreneur ahsante kwa darasa, hapo umefundisha wengi walio na biashara za aina hiyo!!! Ubarikiwe uzidi kutoa darasa!!!!

 
Kwanini utafute wateja hapa? kwanini usi distribute kwenye maduka makubwa ya jumla?
Mkuu,mleta mada hajakosea. Kuleta suala hili huku, anajua hatapata wateja tu (wa kununua bidhaa) bali atakuwa na fursa ya kupokea changamoto mpya (kama issues za intellectually property protection) na kujua wateja wake wanataka nini?
 
mambo ya IPP, Market Research ni mazuri lakini, nadhani aliyetoa topic either hafahamu nini anataka au clearly from the topic description s/he is looking for something different, this is what he said, "Yeyote mwenye kujua soko zuri la mafuta haya naomba tuwasiliane"; hence my response "kwenye maduka makubwa";
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…