Natafuta wateja wa Soya, Vanilla, Mahindi na Ufuta

Natafuta wateja wa Soya, Vanilla, Mahindi na Ufuta

Tani elfu 10 za soya? Unazijua tani elfu au unazisikia tu?. Anyway wewe ni kampuni au ni mtu binafsi?.
NATAFUTA WATEJA WA SOYA, VANILLA, MAHINDI NA UFUTA.

Nina Tani 10,000 za Soya (Beans), natafuta mteja wa kuanzia tani 1000 (bulk).

Upo mzigo wa tani 1000 'packed' tayari kwa ajili ya Ku 'export' na tani 9000 zikiwa Mkoani.

Kuna mzigo wa Vannila Kilo zaidi ya 30 Dar Es Salaam.

Karibu

Mahala: Dar es Salaam.
Mawasiliano: 0743123946/ 0614362272

Sent using Jamii Forums mobile app
 
natafuta wateja wa vannila, kama unao au unawafahamu, njoo dm au comment, nkuna tani 20 na zaidi zipo tayari, utalipwa kiasi fulani katika kila tani 1, karibuni wakuu
 
Back
Top Bottom