Lita moja ni sawa sawa na kilo moja au? Hapa tunapata lita moja kwa 10000 tu.Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
duuuuuhhhhHabari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
Nini mkuuduuuuuhhhh
Wapi huko bossLita moja ni sawa sawa na kilo moja au? Hapa tunapata lita moja kwa 10000 tu.
Dar es salam k.koo tena dumu la lita tano ni 50,000. Asali mbichi hiyo nyuki kubwaWapi huko boss
Kkoo vitu vingi fake hyo itakuwa sukari guruDar es salam k.koo tena dumu la lita tano ni 50,000. Asali mbichi hiyo nyuki kubwa
Hapana inapimwa ni asali kabisaKkoo vitu vingi fake hyo itakuwa sukari guru
Naomba kujua location, ni mtaa gani pale Kariakoo?Hapana inapimwa ni asali kabisa
Asali mwaka huu haina sokoHapana inapimwa ni asali kabisa
Asali mwaka huu haina solo
last week nilikuwa kwenye Maonyesho ya Kilimo ya Kimataifa ya Nairobi,nilikutana na wanunuaji wa asali,Bahati mbaya sikuwa na Ishu nao, kenya wananuua ila lazima uwe na docoments za kukuwezesha kuuza asali nje.Kama huna tafutaHabari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
Punguza bei ndugu wizara ya maliasili wana duka la asali hapa Dar wanauza lita moja 10k ni taasisi ambayo tunaamini inauza asali Original.Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
Hivi ukitaka kujua hii asali sio famba nitajuaje?Hapana inapimwa ni asali kabisa
Imwage kwenye karatasi nyeupe ukijitokeza nje au karatasi ikiloa jua hiyo sio,Hivi ukitaka kujua hii asali sio famba nitajuaje?
Kweli kabisa, kuna siku nilinunua asali 5ltr nikakuta haieleweki.Kkoo vitu vingi fake hyo itakuwa sukari guru
last week nilikuwa kwenye Maonyesho ya Kilimo ya Kimataifa ya Nairobi,nilikutana na wanunuaji wa asali,Bahati mbaya sikuwa na Ishu nao, kenya wananuua ila lazima uwe na docoments za kukuwezesha kuuza asali nje.Kama huna tafuta