Natafuta wateja wa uhakika wa Asali

Natafuta wateja wa uhakika wa Asali

Asali yako inatokea wapi namaanisha mkoa?!
Mimi ni mnunuzi, huwa nanunua lita/kg 50, 100 mpaka 200 kila baada ya miezi mitatu.
 
Asali yako inatokea wapi namaanisha mkoa?!
Mimi ni mnunuzi, huwa nanunua lita/kg 50, 100 mpaka 200 kila baada ya miezi mitat
Asali yako inatokea wapi namaanisha mkoa?!
Mimi ni mnunuzi, huwa nanunua lita/kg 50, 100 mpaka 200 kila baada ya miezi mitatu.
Habar

Asali yako inatokea wapi namaanisha mkoa?!
Mimi ni mnunuzi, huwa nanunua lita/kg 50, 100 mpaka 200 kila baada ya miezi mitatu.
 
Hongera mpambanaji mwenzangu kiukweli hii Biashara sasa ukitaka ikutoe tafuta masoko ya nje huko u export maana hapa ndani soko gumu sana unless unatafuta pesa ya kula tu ila kama unataka kutoboa tafuta partners hata humu wapo walioko nje ya tz fanya packaging nzuri then peleka huko nje asali ya tz inasifika sana huko nje

Watafute swahili honey then wafatilie wanavyofanya
 
Hongera mpambanaji mwenzangu kiukweli hii Biashara sasa ukitaka ikutoe tafuta masoko ya nje huko u export maana hapa ndani soko gumu sana unless unatafuta pesa ya kula tu ila kama unataka kutoboa tafuta partners hata humu wapo walioko nje ya tz fanya packaging nzuri then peleka huko nje asali ya tz inasifika sana huko nje

Watafute swahili honey then wafatilie wanavyofanya
Asante kwa ushauri nami najifunza
 
Habari, wa Jf mm ni kijana mpambanaji nimeona sasa nijikite kwenye biashara hii ya asali mbichi , nipo Tabora naomba nipate wanunuzi wa asali kwa aliyeko serious nitauza nikiwa huku kwa bei kg 1 sh 15,000 . Natafuta wateja serious Tanzania nzima, pia kama kuna mtu anahitaji asali ya biashara pia nicheck tuongee
Hujaandika namba ya simu tutakupataje?
 
Back
Top Bottom