TOUCHBOY TERMINATOR
Member
- Aug 19, 2021
- 38
- 58
Habari Wananzonde jukwaani
Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama ni darasa la saba na hawaelewi Mambo ya NGO.
Maeneo ambayo nimefeli zaidi ni
1.Fund raising
2.Project guider
3.Mornitoring and evaluation
4.Project writing
5.IT and NGO branding
Ninaomba Kama Kuna mtu yeyote anaweza KUJITOLEA aje tufanye kazi.
Kwa kuwa hatuna fund kabisa sio lazima aje hapa nilipo ila Kuna kazi anaweza kuzifanya hukohuko aliko Kama issue ya branding, fund raising,project writing nk.
Pindi Hali ikitengamaa tunaweza ona namna ya kushirikiana kwa ukaribu zaidi
Shirika linajihusisha na child rights protection.
Kwa maelezo zaidi njoo watsap 0766432676.
Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama ni darasa la saba na hawaelewi Mambo ya NGO.
Maeneo ambayo nimefeli zaidi ni
1.Fund raising
2.Project guider
3.Mornitoring and evaluation
4.Project writing
5.IT and NGO branding
Ninaomba Kama Kuna mtu yeyote anaweza KUJITOLEA aje tufanye kazi.
Kwa kuwa hatuna fund kabisa sio lazima aje hapa nilipo ila Kuna kazi anaweza kuzifanya hukohuko aliko Kama issue ya branding, fund raising,project writing nk.
Pindi Hali ikitengamaa tunaweza ona namna ya kushirikiana kwa ukaribu zaidi
Shirika linajihusisha na child rights protection.
Kwa maelezo zaidi njoo watsap 0766432676.