John January
Member
- Mar 31, 2018
- 11
- 7
Mkuu ukikosa kabisa fanya storage ya mazao uje kuuza mwezi wa pili kuliko uiache ikae bank hiyo kwa maelezo zaid njoo pm tuyajengeHabari wadau,
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.
Niuzie mkuu, nahitajiNikuuzie wazo mkuu??
Poapoa,.Niuzie mkuu, nahitaji
Na mimi niuzie lakini faida ntakupa bureNikuuzie wazo mkuu??
Mmh,babuu faida gani hiyoo?!Na mimi niuzie lakini faida ntakupa bure
DsmUpo wapi maana kuna idea zingine zinatofautiana na makazi
Habari wadau,
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.
Hii ni safi,wazo la biashara ndo mtihani mgumu kushinda hata biashara yenyewe.Nadhani kuliuza wazo ni jambo jemaNikuuzie wazo mkuu??
Unauza bei gani hilo wazo huenda na mimi nikanunua?Mkuu nina wazo zuri kabisa nimeliweka katika business plan, ukilifanyia kazi iyo plan hutojuta nimelifanyia research na katika hiyo biashara niliyoiandikia wazo mimi ni moja ya mteja mkubwa
Nina idea nzuri ( roadmap ) lakini sina mtaji pesa kama utaweza kujilipua, njoo tujaribu. Unaweza kutest zali hata kwa 2M kama kianzio !