John January
Member
- Mar 31, 2018
- 11
- 7
Habari wadau,
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za uzalishaji. Naombeni maoni yenu wakuu.