Natafuta wazungu...

Waigizaji wanaigiza kaole CD dukani/
Akina dada wanaigiza ulokole mili buchani/
Hii ngoma yenye hizi mistari uwa naielewa.
By the way mkuu,
Wamendee ledger plaza sometimes wanakuwepo kuwepo wengi.
 
Waigizaji wanaigiza kaole CD dukani/
Akina dada wanaigiza ulokole mili buchani/
Hii ngoma yenye hizi mistari uwa naielewa.
By the way mkuu,
Wamendee ledger plaza sometimes wanakuwepo kuwepo wengi.
Asante
 

Nenda kategeshe pale Ramada....kule Afrikana.

Wapo wa kutosha hapo.
 
Ninaweza mkuu,achana nao kwanza ukienda kwao watakuf.r. mbaya kabisa,muulize rah p atakwambia
Mmmm nahisi hapa tunaongelea biashara mbili tofauti..na hiyo ya kwako hata sio ninayotaka kuifanya

We chilax tu,thread ina load utajua ni bz gani[emoji4]
 
Mkishamaliza kujiuliza ni biashara gani,mje mnitajie hayo maeneo kama thread inavyotaka,af will tell you ni fursa gani nakamatia[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Mmmm nahisi hapa tunaongelea biashara mbili tofauti..na hiyo ya kwako hata sio ninayotaka kuifanya

We chilax tu,thread ina load utajua ni bz gani[emoji4]
Thread zako zinafanana na avatar yako.........
 
acha zako bana business gani unayoenda kufanya na mawhiteman but ngoja nikupe map yao ili ukatuongezee mapato hewa TRA .
 
Ooooohh!!!! don't worry am here for you and I will have to be with you [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Unataka Mzungu wa moyo au mzungu wa ngozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…